Collector
Ibraah anamtaka yeyote kati ya Marioo na Mbosso | Collector
Ibraah anamtaka yeyote kati ya Marioo na Mbosso
bongo5.com

Ibraah anamtaka yeyote kati ya Marioo na Mbosso

Kwenye Mahojiano yake na @el_mando_tz kupitia #B4THEFAME ameeleza kuwa @marioo_tz alikataa kumpa Collabo kwa kuongopa kuharibu uhusiano wake na @harmonize_tz Mbali na hilo Ibraah amesema kuwa wale wanaosema Mbosso na Marioo ndio wasanii bora kwa sasa ni kwa sababu hawajakutana naye. Anasema kwa hiki kizazi chake hakuna msanii wa kumpita kwenye Uandishi. Mahojiano yote yapo YouTube ya Bongofive

Go to News Site