bongo5.com
Kwenye Mahojiano na @el_mando_tz @ibraah_tz anasema Harmonize alificha mapato yako yote miaka yote hakuwahi kuyaona kabisa. Anaongeza alitaka kukaa Konde Gang Milele lakini Harmonize akaenda Tofauti na Mkataba. Mahojiano yote yapo YouTube ya Bongofive
Go to News Site