Collector
Ibraah: Harmonize alinikatalia nisiongelee Konde Gang, Diamond alinisaidia | Collector
Ibraah: Harmonize alinikatalia nisiongelee Konde Gang, Diamond alinisaidia
bongo5.com

Ibraah: Harmonize alinikatalia nisiongelee Konde Gang, Diamond alinisaidia

Kwenye Mahojiano yake na @el_mando_tz kupitia #B4THEFAME @ibraah_tz ameeleza kuwa @harmonize_tz alimletea Mkataba akataka asaini asimzungumzie wala kuzungumzia Konde Gang. Lakini pia ameeleza namna @diamondplatnumz alivyomsaidia kwa kumpa Wanasheria ili ajinasue kwenye Mkataba wa Harmonize wa kulipishwa bilioni moja. Mahojiano yote yapo kwenye Akaunti yetu ya YouTube ya Bongofive

Go to News Site