Mwananchi
Wachimbaji dhahabu mkoani Geita wameshauriwa kuwa na matumizi sahihi ya fedha kwa kufanya uwekezaji kwenye amana za muda na hati fungani za Serikali (Treasury Bond) zinazosimamiwa na Benki Kuu, nyumba na ardhi, kwa ajili ya manufaa yao ya sasa na badaye kutokana na fedha wanazopata kupitia uchimbaji.
Go to News Site