Mwananchi
Waziri Mkuu, Dk Mwigulu Nchemba amekemea tabia ya baadhi ya wakandarasi wanaolipwa fedha na Serikali kutekeleza miradi ya ujenzi nchini kushindwa kuwalipa watoa huduma walioingia nao mikataba kwa kisingia kuwa Serikali bado haijatoa fedha.
Go to News Site