Collector
Watanzania waaswa kuepuka siasa za chuki, waelekezwa kuhimiza maendeleo | Collector
Watanzania waaswa kuepuka siasa za chuki, waelekezwa kuhimiza maendeleo
Mwananchi

Watanzania waaswa kuepuka siasa za chuki, waelekezwa kuhimiza maendeleo

Watanzania wametakiwa kuepuka matumizi mabaya ya siasa yanayochochea chuki, vurugu na machafuko, badala yake wazitumie kama chombo cha kusukuma mbele gurudumu la maendeleo kwa manufaa ya taifa.

Go to News Site