bongo5.com
Kijana @leo_.mendez15 amefunguka kuhusu kushinda Tuzo ya kwenye kipengele cha vijana 100 wenye ushawishi Barani Afrika ambapo tuzo hiyo amekabidhiwa Nchini Ghana “marafiki ndugu jamaa na marafiki wamenisapoti kwa kiwango kikubwa kupata tuzo hii”
Go to News Site