Tanesco yawazawadia walimu majiko, yataja nishati safi ya kupikia
Shirika la Umeme Tanzania (Tanesco) limetoa majiko 30 ya umeme kwa walimu wa Shule ya Sekondari ya Wasichana Manyara, ikiwa ni sehemu ya juhudi za kuhamasisha matumizi ya nishati safi ya kupikia nchini.