Collector
Mashili awataka watanzania kumuombea Rais, kuliombea Taifa | Collector
Mashili awataka watanzania kumuombea Rais, kuliombea Taifa
bongo5.com

Mashili awataka watanzania kumuombea Rais, kuliombea Taifa

Watanzania wamehamasishwa kuendelea kumuombea Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan ili aweze kupata utulivu wa kuliongoza Taifa la Tanzania kwa amani, upendo na mshikamano. Rai hiyo imetolewa leo Aprili 19, 2026 na Mkurugenzi Mtendaji wa kampuni ya MASHILI COMPANY LIMITED ambaye pia ni Mkurugenzi Mtendaji wa Mradi wa Uchenjuaji Dhahabu …

Go to News Site