Mwananchi
Wakati awali mpango ilikuwa kuwawekea meza za muda wafanyabiashara wa Simu 2000, Ubungo jijini Dar es Salaam waliounguliwa na vibanda vyao ili kuendelea na shughuli zao, hilo limebadilishwa na sasa wamejengewa vibanda.
Go to News Site