Chadema Nyasa yaanza kazi ikisisitiza Katiba mpya, kuachiwa Lissu
Kazi imeanza, lazima kieleweke. Ni kauli ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Kanda ya Nyasa ikielezea kurejea kwa shughuli zake za kisiasa, huku kikiomba wananchi na wafuasi wake kukisapoti.