bongo5.com
Waziri wa Ujenzi, Abdallah Ulega, amewahakikishia Watanzania kuwa Serikali itahakikisha inajenga na kukamilisha kwa kiwango cha lami miradi yote viporo ya miundombinu ya barabara na madaraja nchini. Akizungumza na wananchi wa Isenye mkoani Mara baada ya kukagua miradi ya ujenzi wa barabara ya Tarime–Mugumu (km 87.14) na Sanzate–Natta (km 40), Waziri huyo alisema hatua …
Go to News Site