Aliyeshtakiwa kwa kumuua mkewe kisa Sh20,000 aachiwa | Collector
Mwananchi
Aliyeshtakiwa kwa kumuua mkewe kisa Sh20,000 aachiwa
Jaji Itemba amesema baada ya kupitia ushahidi wa pande zote mbili, Mahakama imebaini kuwepo kwa shaka kubwa lililodhoofisha kesi ya upande wa mashtaka.