Mifumo mingi ya taarifa bandarini yatajwa changamoto, suluhu yatajwa | Collector
Mwananchi
Mifumo mingi ya taarifa bandarini yatajwa changamoto, suluhu yatajwa
Kulingana na mkataba wa IMO, nchi wanachama wa shirika hilo ikiwemo Tanzania, wanapaswa kuwa na mfumo mmoja wa taarifa kutoka na kuingia kwa meli bandarini.