Mwananchi
Kila siku, katika miji na vijiji vyetu, tunaona watafiti wakizunguka kama “vipepeo” wakiingia kwenye shule, kwenye kliniki, kwenye vijiji, wakiuliza maswali, kuhesabu takwimu, na kukusanya maelezo mbalimbali. Wanapigana vikumbo na watu katika jamii wakijaribu kupata taarifa za utafiti, wakizungumza na wazazi, walimu, vijana, na wazee, wakijitahidi kuelewa changamoto, mahitaji, na mienendo ya jamii.
Go to News Site