Collector
Chadema Iringa yarejea mzigoni, yaahidi kuwafikia wananchi | Collector
Chadema Iringa yarejea mzigoni, yaahidi kuwafikia wananchi
Mwananchi

Chadema Iringa yarejea mzigoni, yaahidi kuwafikia wananchi

Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Iringa kimeanza ukurasa mpya wa uhai wa kisiasa kwa kufungua ofisi zake huku kikilenga kuimarisha uhusiano na wananchi na kuboresha utendaji wa ndani ya chama baada ya kuwa kifungoni.

Go to News Site