Maagizo matano ya Rais Samia kuboresha sekta ya mama, baba lishe | Collector
Mwananchi
Maagizo matano ya Rais Samia kuboresha sekta ya mama, baba lishe
Rais Samia Suluhu Hassan ametoa maagizo matano yanayolenga kuboresha sekta ya mama na baba lishe nchini, akisisitiza kuwa kundi hilo ni mhimili muhimu wa uchumi wa kila siku na ustawi wa jamii.