Mwananchi
Licha ya wanawake kuchangia karibu asilimia 40 ya nguvu kazi ya kilimo duniani na kuwa na mchango mkubwa nchini Tanzania, bado wanakabiliwa na changamoto za kimfumo, zikiwemo umiliki wa ardhi, mitaji, teknolojia, soko, upatikanaji mdogo wa huduma za kifedha, huduma za ugani na ushiriki katika uamuzi.
Go to News Site