Mwananchi
Kaimu Mganga Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga, Timothy Sosoma amewatahadharisha wananchi kuwapeleka wagonjwa wa himofilia kwa waganga wa jadi badala ya hospitali, akisisitiza kuwa kuchelewa kupata tiba kunaweza kusababisha madhara makubwa, ikiwamo kupoteza maisha.
Go to News Site