Mahakama ilivyomaliza sakata maziko ya Lungu kwa siku 322 | Collector
Mwananchi
Mahakama ilivyomaliza sakata maziko ya Lungu kwa siku 322
Kwa mujibu wa Mwanasheria Mkuu wa Zambia, Mulilo Kabesha amesema mahakama imefikia uamuzi huo baada ya familia ya marehemu kuachana na juhudi za kukata rufaa katika Mahakama ya Rufani ya Afrika Kusini.