Ludewa yatenga Sh130 milioni kila kata mikopo ufugaji wa Samaki | Collector
Mwananchi
Ludewa yatenga Sh130 milioni kila kata mikopo ufugaji wa Samaki
Halmashauri ya Wilaya ya Ludewa mkoani Njombe imetenga Sh130 milioni kwa kila kata ili kuwawezesha wananchi kupata mikopo kwa ajili ya ufugaji wa samaki kwa njia ya vizimba.