Collector
Njombe waimarisha ulinzi wakijiandaa kupokea wageni wa kitaifa | Collector
Njombe waimarisha ulinzi wakijiandaa kupokea wageni wa kitaifa
Mwananchi

Njombe waimarisha ulinzi wakijiandaa kupokea wageni wa kitaifa

Jeshi la polisi mkoani Njombe limesema kuwa limeimarisha ulinzi katika maeneo yote ya mkoa huo na kuwaonya watakaofanya vitendo vya uhalifu kuelekea sherehe za Mei Mosi ambazo kitaifa zinafanyika mkoani Njombe.

Go to News Site