Collector
Mahakama yamwachia aliyeshtakiwa kwa mauaji ya mtoto | Collector
Mahakama yamwachia aliyeshtakiwa kwa mauaji ya mtoto
Mwananchi

Mahakama yamwachia aliyeshtakiwa kwa mauaji ya mtoto

Mahakama Kuu Masijala Ndogo wa Bukoba imemwachia huru Malecha Mashala maarufu kwa jina la Ngosha, aliyeshtakiwa kwa mauaji ya mtoto, Iranyishyuye Stephano, ambaye mwili wake ulikutwa shambani akiwa amechinjwa.

Go to News Site