Collector
Saba washikiliwa polisi kwa tuhuma za mauaji ya 'Mungu' Mbeya | Collector
Saba washikiliwa polisi kwa tuhuma za mauaji ya 'Mungu' Mbeya
Mwananchi

Saba washikiliwa polisi kwa tuhuma za mauaji ya 'Mungu' Mbeya

Jeshi la Polisi mkoani Mbeya linawashikilia watu saba kwa tuhuma za mauaji ya Mungu Mamboleo, mkazi wa Ihanga Mkanyageni, Tarafa ya Rujewa, wilayani Mbarali mkoani humo, kwa kumtuhumu kuiba ng’ombe.

Go to News Site