Collector
Sh10 bilioni kujenga ofisi mpya za mkoa Dar | Collector
Sh10 bilioni kujenga ofisi mpya za mkoa Dar
Mwananchi

Sh10 bilioni kujenga ofisi mpya za mkoa Dar

Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Albert Chalamila amesema Serikali imeanza mchakato wa ujenzi wa ofisi mpya za Mkuu wa Mkoa katika eneo la Magomeni, lililokuwa chini ya umiliki wa DDC, kwa lengo la kuboresha mazingira ya kazi na huduma kwa wananchi.

Go to News Site