Collector
Mtanzania achaguliwa rais wa wanafunzi Chuo Kikuu Georgia, Marekani | Collector
Mtanzania achaguliwa rais wa wanafunzi Chuo Kikuu Georgia, Marekani
Mwananchi

Mtanzania achaguliwa rais wa wanafunzi Chuo Kikuu Georgia, Marekani

Mtanzania anayesoma Shahada ya Uzamivu (PhD) katika masuala ya elimu katika Chuo Kikuu cha Georgia nchini Marekani, Nichesius Godwin, amechaguliwa kuwa rais wa wanafunzi wa ngazi za uzamili na uzamivu (Masters, PhD na EdD) kupitia mtandao wa LEAP Graduate Student Network.

Go to News Site