bongo5.com
Katika jitihada za kupunguza ajali na kuimarisha usalama barabaranin Azam TV imezindua rasmi kampeni ya usalama barabarani katika Wilaya ya Ubungo, ikilenga kuwahamasisha waendesha bodaboda kuzingatia sheria na kujilinda wanapokuwa barabarani. Akizungumza katika uzinduzi huo, Afisa Usafirishaji Barabarani Amina Makabilla Siwa Kikala amesisitiza umuhimu wa waendesha bodaboda kujipenda na kulinda afya zao binafsi. Amesema kuwa …
Go to News Site