Collector
Serikali yapunguza upimaji wa mabasi kwenye mizani | Collector
Serikali yapunguza upimaji wa mabasi kwenye mizani
Mwananchi

Serikali yapunguza upimaji wa mabasi kwenye mizani

Mabadiliko makubwa katika mfumo wa usafiri wa abiria nchini yameanza kuonekana baada ya Serikali kupunguza upimaji wa mabasi katika vituo vya mizani, hatua inayolenga kuondoa changamoto za ucheleweshaji wa safari, kupunguza matumizi ya mafuta na kupunguza gharama za uendeshaji.

Go to News Site