Collector
Wanawake wafundishwa nidhamu ya mikopo kuepuka migogoro | Collector
Wanawake wafundishwa nidhamu ya mikopo kuepuka migogoro
Mwananchi

Wanawake wafundishwa nidhamu ya mikopo kuepuka migogoro

Mkuu wa Mkoa wa Mwanza, Said Mtanda, amewataka wanawake nchini kuwaeleza na kuwashirikisha wenza wao kuhusu shughuli za kiuchumi wanazozifanya ili kuepusha migogoro inayoweza kujitokeza iwapo mambo yataenda kombo.

Go to News Site