Collector
Wafanyabiashara madini wakumbushwa sheria | Collector
Wafanyabiashara madini wakumbushwa sheria
HabariLeo

Wafanyabiashara madini wakumbushwa sheria

‎DODOMA: Waziri wa Madini, Anthony Mavunde, ametoa rai kwa wachimbaji na wafanyabiashara wa madini nchini kuzingatia sheria zilizowekwa ili kuhakikisha sekta hiyo inaendeshwa kwa uadilifu na manufaa kwa taifa. ‎Akiwasilisha Makadirio ya Mapato na Matumizi kwa mwaka wa fedha 2026/2027, Waziri Mavunde amesema Serikali haitavumilia uvunjifu wa sheria unaosababisha upotevu wa rasilimali za taifa. ‎Akizungumza … The post Wafanyabiashara madini wakumbushwa sheria first appeared on HabariLeo .

Go to News Site