Collector
Afa maji akivuka kivuko cha magogo, wananchi walalamikia hatari | Collector
Afa maji akivuka kivuko cha magogo, wananchi walalamikia hatari
Mwananchi

Afa maji akivuka kivuko cha magogo, wananchi walalamikia hatari

Kaimu Kamanda wa Jeshi la Zimamoto na Uokoaji Mkoa wa Kilimanjaro, Jeremia Mkomagi, amesema walipokea taarifa ya tukio hilo saa 2:23 asubuhi na kufika eneo la tukio saa 5:38, na walikuta mwili wa mwanaume huyo ukielea juu ya maji.

Go to News Site