Mwananchi
Kaimu Kamanda wa Jeshi la Zimamoto na Uokoaji Mkoa wa Kilimanjaro, Jeremia Mkomagi, amesema walipokea taarifa ya tukio hilo saa 2:23 asubuhi na kufika eneo la tukio saa 5:38, na walikuta mwili wa mwanaume huyo ukielea juu ya maji.
Go to News Site