Waliokatwa kura za maoni ubunge waibukia Eala | Collector
Mwananchi
Waliokatwa kura za maoni ubunge waibukia Eala
Hakuna kukata tamaa, ndivyo ilivyokuwa kwa baadhi ya wanasiasa waliowania ubunge kupitia CCM, lakini majina yao kukatwa, sasa wameibukia ubunge wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (Eala).