Collector
Serikali yasisitiza ushiriki wa vijana katika ukuaji wa uchumi | Collector
Serikali yasisitiza ushiriki wa vijana katika ukuaji wa uchumi
bongo5.com

Serikali yasisitiza ushiriki wa vijana katika ukuaji wa uchumi

Serikali imesisitiza kuwa, Dira ya Taifa ya Maendeleo 2050 inatoa kipaumbele cha pekee kwa ushiriki wa vijana katika maendeleo, kwa lengo la kuinua vipaji, uwezo, na ari yao katika kufanikisha ukuaji wa uchumi jumuishi. Kauli hiyo imetolewa na Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge, Uratibu na Wenye Ulemavu), Prof. Palamagamba Kabudi, leo …

Go to News Site