HabariLeo
DAR ES SALAAM; Shirika la Umoja wa Mataifa la Mpango wa Maendeleo (UNDP), kupitia Mpango wa Ubunifu wa FUNGUO, limehitimisha kwa mafanikio hafla ya utoaji wa Tuzo za YouthIgnite Awamu ya Tatu sambamba na kuzindua dirisha la tano la ufadhili wa kichocheo. Hatua hiyo inalenga kuimarisha ujasiriamali unaoongozwa na vijana pamoja na mifumo ya ubunifu … The post UNDP yanogesha ujasiriamali kwa vijana Dar first appeared on HabariLeo .
Go to News Site