Wasira na Chumi wachomoza EALA, Fatuma Kange kuziba nafasi ya Angela Kizigha | Collector
Mwananchi
Wasira na Chumi wachomoza EALA, Fatuma Kange kuziba nafasi ya Angela Kizigha
Katibu wa Bunge la Tanzania, Baraka Leonard ametangaza uchaguzi mdogo wa kuziba nafasi za wabunge watatu wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EALA) huku majina matatu yakiwa tayari yametangazwa.