bongo5.com
Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC) imetoa kibali kwa asasi za kiraia tatu kutoa elimu ya mpiga kura wakati wa uchaguzi mdogo wa ubunge katika Jimbo la Ismani na kata 12 za Tanzania Bara. Kwa mujibu wa taarifa ya tume hiyo imeeleza kuwa pia imetoa kibali kwa waangalizi wa Uchaguzi kwa Taasisi na asasi …
Go to News Site