Matarajio ya wananchi Waziri Mkuu akianza ziara Mufindi | Collector
Mwananchi
Matarajio ya wananchi Waziri Mkuu akianza ziara Mufindi
Mkazi wa Kijiji cha Igowole, Moses Mwakalobo, amesema wananchi wanatarajia Waziri Mkuu atatoa mwelekeo wa kuboresha na miundombinu ya barabara hasa Mafinga - Mgololo Wilayani humo.