Collector
Wataka kamera Daraja la JP Magufuli | Collector
Wataka kamera Daraja la JP Magufuli
Mwananchi

Wataka kamera Daraja la JP Magufuli

Viongozi wa vyama vya upinzani wameitaka Serikali kupitia Wakala wa Barabara Tanzania (Tanroads) kuweka kamera za kudhibiti mwendo kasi katika Daraja la JP Magufuli ili kuimarisha usalama wa watumiaji wa daraja hilo.

Go to News Site