Chumi, Kange walivyopenya matokeo ya uwakilishi EALA | Collector
Mwananchi
Chumi, Kange walivyopenya matokeo ya uwakilishi EALA
Mbunge wa zamani na aliyewahi kuwa Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Cosato Chumi ameongoza katika matokeo ya uwakilishi wa ubunge wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EALA).