Mwananchi
Gondwe amesema kwa mujibu wa wafanyabiashara hao, fidia hizo zinatokana na usumbufu walioupata, kudorora kwa uchumi na ugumu wa maisha kutokana na kukosa kipato cha kuendesha maisha yao ya kila siku baada ya soko hilo kufungwa.
Go to News Site