Wafanyabiashara wapigia chapuo ushirikiano Kenya, Tanzania | Collector
Mwananchi
Wafanyabiashara wapigia chapuo ushirikiano Kenya, Tanzania
Rostam amesema majadiliano kati ya mataifa hayo yanapaswa kuhamia kutoka kwenye biashara ya kawaida na kuelekea ujenzi wa mfumo mmoja wa kibiashara wenye uwezo wa kushindana kikanda na kimataifa.