CRDB Bank Foundation yatoa Sh 21 bilioni kukuza wajasiriamali nchini | Collector
Mwananchi
CRDB Bank Foundation yatoa Sh 21 bilioni kukuza wajasiriamali nchini
Serikali imesifu ushirikiano kati ya CRDB Bank Foundation na Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM) kwa mchango wake katika kuwawezesha wasomi na kukuza ujasiriamali unaoendeshwa na ubunifu nchini kote.