Mwananchi
Miaka kumi iliyopita, mwezi kama huu wa Mei, niliandika katika safu hii kwamba Mji Mkongwe wa Zanzibar unalia bila ya kupata wa kuutuliza. Wakati huo, nilielezea jinsi mvua za masika zilivyosababisha baadhi ya nyumba zilizokuwa katika hali mbaya kuporomoka na kusababisha vifo vya watu.
Go to News Site