Collector
Tanesco yatenga Bilioni 1.5 kwa ajili ya kuwalipa fidia wananchi 1,730 Lindi na Mtwara | Collector
Tanesco yatenga Bilioni 1.5 kwa ajili ya kuwalipa fidia wananchi 1,730 Lindi na Mtwara
bongo5.com

Tanesco yatenga Bilioni 1.5 kwa ajili ya kuwalipa fidia wananchi 1,730 Lindi na Mtwara

Lengo ni kupisha Mradi wa ujenzi wa njia ya kusafirisha umeme 220kV Masasi, Mahumbika   Shirika la umeme Tanzania ( TANESCO) limezindua rasmi zoezi la ulipaji fidia kwa wananchi wanaopisha mradi wa ujenzi wa njia ya kusafirisha umeme ya msongo wa 220kV kutoka Masasi Mkoani Mtwara hadi Mahumbika Mkoani Lindi. Akizungumza katika Kata ya …

Go to News Site