ACT Wazalendo yaja na mambo sita kuhusu mikopo kwa vijana | Collector
Mwananchi
ACT Wazalendo yaja na mambo sita kuhusu mikopo kwa vijana
Chama cha ACT Wazalendo kimetoa mapendekezo sita kwa Serikali yatakayowezesha vijana kunufaika na mikopo, ikiwemo kuondolewa kwa kigezo cha leseni ya biashara kwa vijana wanaoanza biashara kuomba mkopo.