Collector
Ujenzi barabara nane, Kunenge awaita wawekezaji ujenzi vituo vya mafuta, gesi | Collector
Ujenzi barabara nane, Kunenge awaita wawekezaji ujenzi vituo vya mafuta, gesi
Mwananchi

Ujenzi barabara nane, Kunenge awaita wawekezaji ujenzi vituo vya mafuta, gesi

Mkuu wa Mkoa wa Pwani, Abubakar Kunenge amewataka wawekezaji katika sekta ya mafuta kutumia fursa ya ujenzi wa barabara nane na zile za kulipia zinazotarajiwa kujengwa barabara ya Morogoro kuwekeza katika ujenzi wa vituo vya kujazia mafuta na gesi.

Go to News Site