Collector
Millya ataja sababu kukwamishwa bajeti 2025/26 mambo ya nje | Collector
Millya ataja sababu kukwamishwa bajeti 2025/26 mambo ya nje
Mwananchi

Millya ataja sababu kukwamishwa bajeti 2025/26 mambo ya nje

Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki imetaja mojawapo ya changamoto zilizokwamisha bajeti ya 2025/26 isiweze kutekelezwa ni kuwepo kwa baadhi ya nchi katika Jumuiya kutoheshimu mikataba ya makubaliano ikiwemo la kulipa michango.

Go to News Site