Lema ahimiza kauli za viongozi wa dini kujenga umoja wa kitaifa | Collector
Mwananchi
Lema ahimiza kauli za viongozi wa dini kujenga umoja wa kitaifa
Lema amesema viongozi wa madhehebu ya dini wana nafasi muhimu ya kuunganisha jamii badala ya baadhi yao kutoa kauli zinazoashiria kuwagawa wananchi kwa misingi ya kidini.