bongo5.com
Serikali imewahimiza wafanyabiashara na wazalishaji nchini kutumia kikamilifu fursa za masoko ya kikanda na kimataifa ili kuongeza mauzo ya nje, kuvutia wawekezaji na kuchochea ukuaji wa uchumi wa taifa. Hayo yameelezwa leo jijini Dar es Salaam na Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Viwanda na Biashara, Aristides Mbwasi wakati wa Mkutnao wa wadau kuhusu kutumia fursa …
Go to News Site