Collector
Matumizi ya nishati safi yafikia asilimia 28.6 | Collector
Matumizi ya nishati safi yafikia asilimia 28.6
bongo5.com

Matumizi ya nishati safi yafikia asilimia 28.6

Matumizi ya nishati safi ya kupikia nchini yamefikia asilimia 28.6 mwaka 2025, hatua inayotajwa kuwa ishara ya mafanikio ya juhudi za serikali katika kuhamasisha wananchi kutumia nishati salama na rafiki kwa mazingira. Hayo yameelezwa  jijini Arusha na Mkurugenzi wa Nishati Safi ya Kupikia kutoka Wizara ya Nishati, Nolasco Mlay, wakati wa uzinduzi wa mitungi ya …

Go to News Site